}

TANZANIA YASHIKA MKIA VIWANGO VYA UBORA AFRIKA MASHARIKI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), limetoa orodha ya Viwango Vya Ubora wa Soka ambapo Tanzania imeshika nafasi ya mwisho ukanda wa Afrika Mashariki.

Uganda inaongoza kwa Afrika Mashariki ikiwa nafasi ya 78 huku Kenya ikiwa nafasi ya pili kwa kushika namba 105, Rwanda ya tatu ikiwa nafasi ya 112 na Tanzania ikiwa mkiani katika nafasi ya 146.

Kwa upande wa Afrika, Tunisia inaongoza kwa kushika nafasi ya 23 huku Germany wakisalia nafasi ya kwanza Duniani na Brazili ikiwa nafasi ya pili.

Kumi bora ya FIFA ipo namna hii

1: GERMANY
2: BRAZIL
3: PORTUGAL
4: ARGENTINA
5: BELGIUM
6 :POLAND
7: SPAIN
8: SWITZERLAND
9: FRANCE
10: CHILE

@@@@@@@@@@@

No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.