}

MUDATHIR YAHAYA MCHEZAJI BORA MWEZI NOVEMBA.

Mchezaji wa timu ya Singida United ya Singida, Mudathir Yahaya amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Novemba, 2017 wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) Tanzania Bara msimu wa 2017/2018.
Mudathir alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda wenzake wawili, Beki Asante Kwasi wa Lipuli ya Iringa na Mshambuliaji Danny Usengimana pia wa Singida United, alioingia nao fainali ya kuwania nafasi hiyo.

No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.