STARS IMEREJEA USIKU WA KUAMKIA
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imerejea usiku wa kuamkia leo hii kikitokea nchini Benin ilienda kushiriki mchezo wa kimataifa wa kirafiki ulio kwenye kalenda ya FIFA dhidi ya Benin.
Alfred Lucas Afisa Habari wa TFF, alisema baada ya timu hiyo kuwasili hapa nchini baadhi ya wachezaji wameelekea kambini katika vilabu vyao huku wekingine wameelekea majumbani mwao kabla ya kuungana na timu zao kwa ajili ya kushiriki michezo ya ligi kuu ya Tanzania bara.
Lucas alisema kwa wachezaji wa Simba na Prisons wao moja kwa moja TFF iliamua kuwasafirisha mapema ili wakajiunge na timu zao kutokana na makubaliano ambayo wamekubaliana na viongozi wao.
Alfred Lucas Afisa Habari wa TFF, alisema baada ya timu hiyo kuwasili hapa nchini baadhi ya wachezaji wameelekea kambini katika vilabu vyao huku wekingine wameelekea majumbani mwao kabla ya kuungana na timu zao kwa ajili ya kushiriki michezo ya ligi kuu ya Tanzania bara.
Lucas alisema kwa wachezaji wa Simba na Prisons wao moja kwa moja TFF iliamua kuwasafirisha mapema ili wakajiunge na timu zao kutokana na makubaliano ambayo wamekubaliana na viongozi wao.
No comments