Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu imesema Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Suzan Kolimba na kupokelewa na Balozi Robinson Njeru Githae wa Kenya na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Mhe. Dkt. Pindi Chana.
Sherehe za kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta zimefanyika katika uwanja wa Moi Kasarani Mjini Nairobi Nchini Kenya.
No comments