LIGI YA VYUO BEACH SOKA KUANZA KUTIMUA VUMBI MWEZI UJAO
Ligi ya vyuo kwa mchezo wa beaach soka unatarajiwa kuanza mwezi ujao ambapo vyou hamisi vimealikwa kujisajili ili kushiriki ligi hiyo ambayo itatimua vumbi katika viwanja vya karume.
Akizungumza na waandishi wa habari Deo lucas mratibu beach soka kutoka Tff amesema fomu za kujisajili zinapatika katika viunga vya tff hivyo ni vyema kama vyuo kinahitaji kinaweaza kuchukua fomu hiyo mapema.
Aidha Lucas amesema ligi ya vilabu kwa mchezo wa beach soka inatrajiwa kuanza mwezi wa kumi na mbili mwaka huu ambapo amevitangazia vilabu vya mtani kuwa fomu za kuthibitisha kushiriki zinapatika katika viunga hivyo vya Tff.
Akizungumza na waandishi wa habari Deo lucas mratibu beach soka kutoka Tff amesema fomu za kujisajili zinapatika katika viunga vya tff hivyo ni vyema kama vyuo kinahitaji kinaweaza kuchukua fomu hiyo mapema.
Aidha Lucas amesema ligi ya vilabu kwa mchezo wa beach soka inatrajiwa kuanza mwezi wa kumi na mbili mwaka huu ambapo amevitangazia vilabu vya mtani kuwa fomu za kuthibitisha kushiriki zinapatika katika viunga hivyo vya Tff.
No comments