}

YANGA YAKANUSHA KUMTIMUA KOCHA LWANDAMINA

Press Release
Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga unakanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa uongozi "umemtimua" kocha mkuu Bw George Lwandamina.
Taarifa hizo sio za kweli tunaomba wanachama na mashabiki wetu mzipuuze zimekaa "KIMATOPENI ZAIDI"
Bado George Lwandamina atabaki kuwa kocha mkuu wa Yanga kwa muda wote wa mkataba wake.

Imetolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga Makao makuu.
12/01/2017

No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.