PAYET HATIHATI KUCHEZA WEST HAM
Mchezaji wa timu ya taifa ufaransa pamoja na klabu ya west united Dimitri Payet amekataa kuendelea kuvheza na kikosi cha west ham
Kocha wa west ham united Slaven Bilic amesema payet amkekataa kucheza ndani ya kikosi hicho ambapo ameonesha nia ya kutaka kuihama klabu hiyo
Bilic amesema kwamba kwa upande wao hawatakuwa tayari kumuachia mchezaji huyo kutokana na kumwona kuwa ndio mchezaji wao bora ndani ya kikosi hicho
"Pamoja na kwamba kuna ofa kutoka klabu moja ya nchini ufaransa ya £19m nitamwambia mwenyekiti wa klabu asikubali kumuuza mchezaji na badala yake ataendelea kuwepo ndani ya kikosi japo hatopata nafasi ya kucheza mpka atakapotengeneza nidhamu yake"alisema bilic
Dimitri alimwambia kocha wake kuwa hataki kuendelea kucheza Ndani ya kikosi hicho akiwa na maana anatahitaji kuondoka lakini kocha amekataa kubaki ndani ya kikosi hicho
No comments