WAMISRI WANAPIGA KURA LEO HII KATIKA UCHAGUZI WA RAIS.
Wamisri wanapiga kura leo katika uchaguzi wa rais. Rais Abdel-Fattah al-Sissi karibu ana uhakika kamili wa kushinda uchaguzi huo.
Mpinzani pekee wa Al-Sissi katika kinyang’anyiro hicho ni Moussa Mostafa ambaye ni mwanasiasa asiyejulikana sana na ambaye tayari aliunga mkono Al-Sissi kuwania urais kwa muhula wa pili.
Waliokuwa washindani wakuu katika kinyang’anyiro hicho walijiondoa au kuzuiliwa kushiriki. Upinzani umewataka Wamisri kuususia uchaguzi ukiuita kuwa kichekesho. Huku ushindi wa Al-Sissi ukitarajiwa, idadi ndogo ya wapiga kura huenda ikazusha maswali kuhusu kuaminika kwa uchaguzi huo.
Chanzo-DW
Mpinzani pekee wa Al-Sissi katika kinyang’anyiro hicho ni Moussa Mostafa ambaye ni mwanasiasa asiyejulikana sana na ambaye tayari aliunga mkono Al-Sissi kuwania urais kwa muhula wa pili.
Waliokuwa washindani wakuu katika kinyang’anyiro hicho walijiondoa au kuzuiliwa kushiriki. Upinzani umewataka Wamisri kuususia uchaguzi ukiuita kuwa kichekesho. Huku ushindi wa Al-Sissi ukitarajiwa, idadi ndogo ya wapiga kura huenda ikazusha maswali kuhusu kuaminika kwa uchaguzi huo.
Chanzo-DW
No comments