FA CUP KUTIMUA VUMBI TENA LEO SAA CHACHE ZIJAZO
Wachezaji wa Ashanti united |
Kombe la shirikisho leo linatarajiwa kuendelea kwa michezo mbalimbali kupigwa katika viwanja tofauti
Ratiba nzima ya michezo ambayo itaunguruma hii leo ni
Mshikamano ya Dar es Salaam vs Polisi Tanzania ya Morogoro
Rhino ya Tabora vs Alliance ya Mwanza
Majimaji Rangeres ya Lindi vs Mbeya Kwanza ya Mbeya
Njombe Mji vs Mji Mkuu ya Dodoma
Ashanti vs Friends Rangers za Dar es Salaam
Kagera Sugar vs Makambako
Stand United ya Shinyanga vs AFC ya Arusha.
No comments