DROO MICHUANO YA KOMBE LA FA KUPANGWA RASMI KESHO.
Afisa habari wa TFF Alfred Lucas. |
Afisa Habari wa TFF,Alfrd Lucas amesema kwamba katika droo hiyo ambayo itapangwaj kesho kuanzia mishale ya saa tatu usiku hawataangalia ukubwa wa timu ama uzito wa mashabiki.
No comments