MTIBWA YAREJEA NA KUENDELEA NA MAZOEZI MANUNGU
BAADA
ya ushindi wa mechi mbili mfululizo za kirafiki mkoani Lindi, Mtibwa
Sugar inarejea Turiani mkoani Morogoro kuanza maandalizi ya mchezo wake
ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Afisa habari wa klaby ya Mtibwa Thobius Kifaru amesema kwamba kikosi leo mchana kimewasili Turiani kwa basi lao walilopewa hivi karibuni na wamiliki, Superdoll. ambapo kinaendelea na mazoezi kwa ajili ya michezo mingine ya ligi kuu Tanzania bara
Kifaru amesema pamoja na kasi yao kupungua bado wanaamini kuwa watarejea kileleni hivi karibuni
KATIKA MECHI IJAYO Mtibwa watakuwa wenyeji wa ndugu zao, Kagera Sugar ya Bukoba katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu Novemba 18, Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro.
Afisa habari wa klaby ya Mtibwa Thobius Kifaru amesema kwamba kikosi leo mchana kimewasili Turiani kwa basi lao walilopewa hivi karibuni na wamiliki, Superdoll. ambapo kinaendelea na mazoezi kwa ajili ya michezo mingine ya ligi kuu Tanzania bara
Kifaru amesema pamoja na kasi yao kupungua bado wanaamini kuwa watarejea kileleni hivi karibuni
KATIKA MECHI IJAYO Mtibwa watakuwa wenyeji wa ndugu zao, Kagera Sugar ya Bukoba katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu Novemba 18, Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro.
No comments