BREAKING NEWS; SEIF KARIE ATOROKA KIKOSINI
Mchezaji kutoka Zanzabar Seif Karie ameondoka kikosini pasipo kutoa taarifa yoyote katika uongozi wa klabu yake na inasemekan mchezaji huyo yuko jijini Dar es salaam
kocha msaidizi wa klabu ya lipuli Amri said amesema wao kama benchi la ufundi hawana taarifa yoyote juu ya kuondoka kwa mchezaji huyo.
Kocha Said amaesema pamoja na kutokuwepo kwa mchezaji huyo katika kikosi choa hakitakuwa na pengo kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Singida United
Aidha kocha amesema kila kitu juu ya mchezaji huyo wamewaachia uongozi wa klabu hiyo na ataakaporejea ndipo watafahamu hatima yake kwa mchezaji huyo.
kocha msaidizi wa klabu ya lipuli Amri said amesema wao kama benchi la ufundi hawana taarifa yoyote juu ya kuondoka kwa mchezaji huyo.
Kocha Said amaesema pamoja na kutokuwepo kwa mchezaji huyo katika kikosi choa hakitakuwa na pengo kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Singida United
Aidha kocha amesema kila kitu juu ya mchezaji huyo wamewaachia uongozi wa klabu hiyo na ataakaporejea ndipo watafahamu hatima yake kwa mchezaji huyo.
No comments