Simba vs Yanga ulinzi wake balaa.
Jeshi lam polisi limesema kuwa limejiaandaa vyema katika kuhakikisha usalama unakuwepo katika mchezo wa hapo kesho ambapo wenyeji yanga watakapowakaribisha wekundu wa msimbazi simba katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.
kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa amesema kikosi cha ulinzi kiko tayari hivy ni vyema mashabiki kufuata sheria
Aidha Mambosasaa amesema mashabiki watakaguliwa kabla ya kuingia uwanja ili kuhakikisha kila anae ingia hataikuwa na silaha ya aina yoyote .
Hata hivyo amewataka mashabiki kuwahi uwanjani kwani milango itafunguliwa mapema.
No comments