}

CAF YAITUPA YANGA UHARABUNI


shirikisho la soka barani afrika CAF limekamilisha upangaji wa ratiba ya michezo ya kombe la shirikisho ambapo Timu ya soka ya Yanga imepangwa kucheza na timu ya MC Algeirs kutoka algeria katika mchezo wa kombe la shirikisho la barani afrika kutafuta mshindi atakaefuzu kutinga katika hatua ya makundi 

 katibu mkuu wa klabu ya Yanga charles Bonifasi Mkwasa amesema kwa upande wao wameipokea kwa mikono miwili ratiba hiyo hivyo kwa sasa wanajipanga kuhakikisha wanaweza kupata matokeo mazuri  katika mchezo wao dhidi ya hao  waarabu 

mkwasa amasema kwamba ingawa kwa sasa wanajiandaa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya azam lakini pia watatumia mchezo huo kama maandalizi kwa ajili ya mchezo dhidi ya Algeirs ambapo kutokana na ubora wa waarabu hao wanaamini kupitia maandalizi bora watafanikiwa kusonga katika hatua nyingine kwani mpaka kufikia mchezo huo hata wale walio majeruhi watakuwa wamerejea 


michezo mingine  ambayo itapigwa tarehe 7-9 April 2017 kwa raundi ya kwanza na raundi ya pili ilatapigwa 14-16 April 2017

TP Mazembe (DR Congo) vs JS Kabylie (Algeria)
AC Leopards (Congo) vs Mbabane Swallows (Swaziland)
FUS Rabat (Morocco) vs MAS Fez (Morocco)
Rangers (Nigeria) vs Zesco (Zambia)
Mounana (Gabon) vs ASEC Mimosas (Cote d’Ivoire)
RC Kadiogo (Burkina Faso) vs CS Sfaxien (Tunisia)
Bidvest (South Africa) vs Smouha (Egypt)
CNaPS (Madagascar) vs Recreativo do Libolo (Angola)
KCCA (Uganda) vs El Masry (Egypt)
Ports Authority (Gambia) vs Hilal Obeid (Sudan)
Port Louis (Mauritius) vs Club Africain (Tunisia)
Rivers United (Nigeria) vs Rayon Sports (Rwanda)
BYC (Liberia) vs Supersports (South Africa)
AS Tanda (Cote d’Ivoire) vs Platinum Stars (South Africa)
Horoya (Guinea) vs Ittihad Tangier (Morocco)



No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.