}

COULTINHO ; NAIPENDA LIVERPOOL KUTOKA MOYONI

Kiungo mshambuliaji wa Brazil na timu ya barcelona kwa sasa Phillipe Coultinho amesema hataisahau klabu yake ya zamani ya liverpool baada ya kuelekea kunako klabu ya Barcelona 
Coultinho Juzi amekamilisha kandarasi yake ya kuitumikia klabu ya barcelona akitokea liverpool amethibitisha kuelekea huko barca ni ndoto yake ya muda mrefu

Amesema Tangu alipowasili kunako kikosi cha Liverpool yeye na familia yake amejisikia faraja juu ya mapokezi yake na alipata marafiki wengi katika klabu hiyo

Ndani ya uwanja na nje nimepata uzoefu mzuri wa klabu pamoja na mashabiki wake na kunirejeshea kumbukumbu na nyakati ambazo zimenipa furaha kutoka kwa mashabiki wa klabu ya liverpool,alisema.








No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.