Baada ya muda mfupi tu kukamilika kwa droo ya upangaji wa timu hizo ambazo zilifuzu hatua ya 16 bora kunako klabu bingwa barani ulaya ratiba sasa ni hiyo ambapo michezo ya awali itapigwa mnano february 13, 14, 20 na 21, na michezo ya marudiano itakuwa March 6, 7, 13 na 14.
No comments