}

Wizara ya Madini, Ardhi, kuhakiki upya madai ya Fidia Buckreef.

Waziri wa Madini,Bi Angellah Kairuki akiwa na Meneja wa Mgodi wa Buckreef Peter Zishoo(Katikatika) na pembeni ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(CCM)Mkoani Geita Joseph Kasheku Msukuma wakati walipotembelea baadhi ya maeneo ya Mgodi Huo.

Waziri wa Madini,Bi Angellah Kairuki akiwa na mwenyeji wake ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Geita,Mwl Herman Kapufi wakati wa kikao na wabia wa mgodi wa Buckreef alipotembea kwa lengo la kujadili namna ambavyo wanatakiwa kuanza kazi za uchimbaji kwenye mgodi huo.

No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.