Guardiola ndiye kocha bora Duniani.
Pep Guardiola. |
Samuel Eto'o. |
Man city ameenda mechi sita bila ya ushindi baada ya ushindi alioupata dhidi ya West Brom na Barcelona, lakini alitoka sare na Middlesbrough nakupigwa 3-1 na Chelsea katika uwanja wao wa Etihad siku ya Jumamosi, matokeo yaliyopelekea wawe nyuma kwa pointi 04 kwa kinara wa Ligi.
Eto'o alishinda mataji matatu chini ya Guardiola katika msimu wake wa kwanza Nou Camp.
Eto'o amesema Guardiola atabaki kuwa bora kwakuwa nguvu zake ni kubwa na huwa habadilishi mawazo yake, na ememaliza kwakusisitiza kuwa kitaalamu Pep bado ni bora.
No comments