}

WATANZANIA WAMEJITOKEZA MKAPA KUSHUHUDIA UFUNGUZI MICHUANO YA CHAN2024


Watanzania wapenzi wa Mpira Wa Miguu wamejitokeza Katika uwanja Wa Benjamini Mkapa Kushuhudia Ufunguzi wa Michuano ya ubingwa wa Mataifa Afrika Kwa Wachezaji wa ndani CHAN2024

Michuano Hiyo Inaanza Leo Katika Uwanja Wa Benjamini Mkapa Itachezwa Katika Kataifa Matatu Ambayo Ni Tanzani Kenya Na Uganda

Mechi Ya Ufunguzi Inahusisha Timu ya Taifa Ya Tanzania dhidi ya Bukinafaso Mchezo amabo Unaanza Majira Ya Saa mbili Kamili Usiku.

No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.