}

MGOMBEA URAIS NCCR-MAGEUZI ACHUKUA FOMU INEC

 


Mgombea urais wa Chama cha NCCR-Mageuzi,Haji Ambar Khamis,Agosti 15,2025, amechukua fomu ya uteuzi ya kugombea nafasi hiyo na kuahidi kuweka mkazo katika kuondoa kero zinazowakabili wananchi wa kawaida.


Khamis ametoa ahadi hiyo Jijini Dodoma, mara baada ya kukabidhiwa fomu hiyo,  na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi Jaji wa rufani Jacobs Mwambegele ,akiwa ameambatana na mgombea mwenza wake  Dokta Aveline Munisi. 


Amesema iwapo wananchi watampa ridhaa ya kuiongoza nchi atashirikiana nao katika kutunga sera na sheria








No comments

Haki zimehifadhiwa. Copyright, kituochahabari.com ©2016. Blog designed by Geofrey Donatus Jacka.. Powered by Blogger.